#OnTrending! #UhamiajitzNews
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala aliongea na Askari wapya wa uhamiaji idadi 400 siku 05 kabla ya sherehe za kumaliza mafunzo yao katika chuo cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kilichopo Wilaya ya Kigamboni Jijini Dar es salaaam, Tarehe 12 Disemba 2019.
Category
Show more
Comments - 18
Related videos for Tujikumbushe CGI Awafunda Askari wapya wa Idara ya Uhamiaji Tanzania: