@noelbernard6390last yearKuna kitu naanza kuelewa, mwaka jana nilikuwa nafanya kazi masaki, sasa boss wa jengo nililokuwa nafanya kazi alikuwa muhindi, alikuwa hataki kabisa kukutana. ...Expand4
@
@evancymassawekenya75213 years agoOoh my god ndio maana nawezanga jua kitu before akijatokea na kinatokea kweli hata baya nalijua na mmbaya kabla ajanitendea alichoniwaziamungu azidi kunipa upeo zaidi. 5
@
@merrymangungula18244 years agoLinafunguliwaje sasa, nashukuru sana vyote unavovisema nimezaliwa navyo tena nilipokua na umri mdogo nilikua natambua hata mtu anachokiwaza. 5
@
@vancandy8343last yearKuna tisha kuna bonge moja la giza ukiwa unaanza nikiona ivo tu nafumbua macho.
@
@happyngoda70562 years agoMe kwenye paji la uso huwa panakandamiza mda mwingine panacheza.
@
@merrymangungula18244 years agoDuu, nashukuru sana ni kama unanitaja mimi tu, lkn kwa sasa imepungua natamani iwe kama zamani, zaman nilikua na uwezo wa kuona kila kitu kabla hakijatokea. 3
@
@carolinetev26314 years agoHaya unayoyasema niukweli lakni nisawa kufungua jicho la tatu? 1
@
@jamessimbaire30162 years agoKaka jicho langu la kushoto huwa likicheza upande wa juu napataa taarifa ya msiba maan yake nini.
@
@marysanka-sl3yolast yearMm naomba ushauri nilkw naon vityu vinavyokuj mbelen iwe taarif mbay litakalo tokea hv krbn, lkn likitokea km nilvyoon huwa naogop lkn kwasaiv hit hal imepote, je iyo inaashiria nn?
@
@marymamntine19094 years agoAise kuna vitu baadhi vinanitokea kabisa.
@
@yusuphnammadede68233 years agoNilifungua baada kuona ganzi mwili mzima nakuona kama kunakitu kinavuka nikaogopa. Kila nikijaribu tena ili nimalizie nashindwa. 1
@
@selinjsf7237last yearMm nikifunga macho tu naona kichwa cha mtu akinitolea macho mpaka naogopa. 1
@
@yusuphnammadede68233 years agoJe kwaanini mm huwa chukia watu baadhi ghafra. Ijapo kuwa nikijuuliza mm mwenyewe sijuikuwa kawaida siwezi. 1
@
@emmycalvin50733 years agoMm siku hz mchawi akija huwa namuona kabisa na wengine mpaka nawajua. Je ilo ndo jicho la 3. 2
@
@carolinetev26314 years agoInakubalika kidini kwa wasilamu na kwa wakilisto? Tusije tukaingia katika ushirikina? 3
@
@fatimasalim5972 years agoMm nilishawahi kubebwa na ucngiz gafla tuu nikaona mtu kaja yupo uchi wa mnyama tana ni mwanaume nilipo kurupuka kweli nikasikia yule mtu akiita huko njee cjajua ni kwann napia ni mara nyingi sana.
@
@salhahassani81152 years agoKwani ukifungua la tatu watu wengine watakua wanaliona.
@
@carolinetev26314 years agoSalami nyingi sana kwako kakangu. Nakuuliza hivi jicho siouchawi? 2
@
@desdeliussebastian85184 years agoHivi kuna vyuo vya kufundisha jambo hili? 1
@
@athumaniwaziri93922 years agoMiye hujiwa na usingizi wa ghafla ukiambatana na njozi ya kuteleza kisha kushituka kwanguvu kwakujizuia nisidondoke. Nn maanae.
@
@mashauri_tz49704 years agoNisaidie sometimes naweza nikawa nimekaa ghafla sikio linakuwa zito sana kama limebebeshwa mzigo mzito sana. ama mwili sometimes unakuwa kama umeganda sehemu moja bro. 2
@
@noelbernard6390last yearKuna kitu naanza kuelewa, mwaka jana nilikuwa nafanya kazi masaki, sasa boss wa jengo nililokuwa nafanya kazi alikuwa muhindi, alikuwa hataki kabisa kukutana. ...Expand4
Related videos for FUNZO: DALILI ZA JICHO LA TATU KUFANYA KAZI:
ama mwili sometimes unakuwa kama umeganda sehemu moja bro. 2