Mgunduzi alietengeneza magari na helicopter ya kwanza sasa anatengeneza ndege yake hapahapa.
#Tanzania #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
-~-~~-~~~-~~-~-
Please watch: "VISA VYA KUSISIMUA | MAKALA | HABARI | VIPINDI MBALI MBALI | HAPA HAPA KTV TZ ONLINE"
/watch/UCCjImRevsTej
-~-~~-~~~-~~-~- #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
@ktvtzonline6 years agoNumber ya kuwasiliana na ktv ni +255 625 323 932. 4
@
@latifahamisi30516 years agoMashaa allah azidi kukupa kipaji zaidi ya hapo inshaa allah. 5
@
@allysaid67426 years agoMasha allah hongera sana coach sugu bakumbuka mwaka 2012 uliponipakia kunipeleka home na gari yako ya sugu 2. 1
@
@mwakahassan87425 years agoMtaji wa masikin nguv zake mwenyew honger kaka.
@
@qaiszahran79926 years agoNakukubali sugu wewe unaweza kuliko wote tanzania.
@
@bkassimidarous20766 years agoKtv tz online nendeni na jumbi wilaya ya kati u/nguja yupo jamaa anatengeneza ndege hatari sana uyo jamaa anaitwa hassan ali bakari hem nendeni nako mkaone. 1
@
@rogerabdallah4397 months agoOkay mnasema anaweza kutengeneza gari mpaka sasa kashatengeneza gari dizaini gani mpaka nataka kutngeneza ndege asije kuuwa watu.
@
@MavaziClothing5 years agoInabidi abaki kwenye kuitengeneza magari aache mawazo ya ndege. Kwani anatakiwa aboreshe ubora wa gari yake. na aweke fikra zote hapo kwenye ufanisi aliojaariwa.
@
@fahadfahmy6 years agoKwanini hilo gari mnaliwacha linakufa hapomakumbusho.
@
@suleimantwn91045 years agoMm nipo tyari kusrkana na huyo wasababu mm pia nina kipaji nadhani kukisrkana tunaweza kutengneza kitu kimoja na kufankazi bila shaka.
@
@princeganji27795 years agoHawa ndio wa kupewa kipaumbele na serikali ili kiendeleza kipaji na kuongezewa ujuzi lakini africa duhhh kaziao siasa za kijinga.
@
@freddymello32276 years agoMbona wanaotengeneza makolokolo ya namna hii wapo wengi mitaani.
@
@mhogomchungu71685 years agoHapo domo tupu hakuna hata dalili na hivyo anavyoelezea hiyo engine haifahamu hata kidogo.
Related videos for NDEGE YA KWANZA KUUNDWA TANZANIA:
na aweke fikra zote hapo kwenye ufanisi aliojaariwa.