“Tulikuja hapa na hoja ya spirit ambayo ni gongo, Mkuu wa Mkoa (Mtwara) amechukua gongo ile ameipeleka maabara na imeonekana inafaa kuliko spirit zilizopo.
Kwa kuwa wananchi wetu hawawezi kununua hizi sanitizers ambazo zina alcohol asilimia 65 basi Waziri wa Afya aruhusu tunawie gongo ambayo ina alcohol asilimia 55” Jumanne Kishimba
#CloudsDigitalUpdates #RipotiYaCAG2020
@mgonjacharles1953 years agoWewe mbunge elimu uliyonayo ni zaidi ya professor, unatisha. 2
@
@abuuharuna39494 years agoGongo mzee inaua kabisa vilus vya corona mimi naamini hivyo. 2
@
@blandinalukole55353 years agoJaman wasukuma wana iq kubwa mf, huyu mbunge, msukuma, maguful, gwajima, makonda n. K. 5
@
@margarethpolepole74383 years agoWasukuma na wahaya wanazo dawa sana za kienyeji ukifuatia wamasai. 1
@
@keffajacob89523 years agoNamkumbuka sasa mzee wa toronto. Ni kariba ya huyu kishimba. 1
@
@jenifamtima93253 years agoRais magufuli uliona mbali kutosafiri nnje ya nchi maana mara corona parah hi hapa kila mtu na kwao. Na ataleta vifaa tiba vya kisasa mwihimbili, mambo ya kwenda india kwisha, 1
Related videos for TURUHUSU WANANCHI WANAWIE GONGO BADALA YA SANITIZER- MBUNGE KISHIMBA: